Saturday, November 28, 2015

Is the Embu County Assembly a S3X den? See what male/female MCAs do in the chambers

Friday November 27, 2015 - Embu County Speaker, Kariuki Mate, has banned Members of the County Assembly from wearing tight and revealing clothes while in the chambers.

This is after it emerged that MCAs are aroused by their colleagues who wear tight pants when they come to the Assembly.

Mr. Mate expressed concern that male MCAs were increasingly dressing in shirts that exposed their “biceps and triceps” which they unbutton to expose their chests.

On the other hand, he accused female MCAs of dressing in “miniskirts and bare-back sleeveless tops” that also have low-cut front ends which expose their cleavages and parts of their breasts.


The matter was kicked off by Kithimu MCA, Michael Njeru, who complained of the dress code by some MCAs, saying they were getting distracted from legislative business by their colleagues who dress in outfits that arouse romantic fantasies.

The Speaker also noted that most male MCAs remove their ties and hang them at the assembly door immediately after sittings are concluded, only to pick them up the next sitting day.

Thursday, November 26, 2015

Mchakato mahakama ya mafisadi waanza




Jaji Kiongozi, Shaban Lila
Jaji Kiongozi, Shaban Lila  

By Nuzulack Dausen, Mwananchi
Dar es Salaam. Utekelezaji wa ahadi za Rais John Magufuli unazidi kushika kasi baada ya kuanza kwa mchakato wa kuanzisha mahakama maalumu ya kuwashughulikia mafisadi.
Jaji Kiongozi, Shaban Lila alisema jana kuwa tayari wadau mbalimbali wa haki jinai wameanza kukutana kuangalia namna ya kuanzisha mahakama hiyo kama sehemu ya utekejezaji wa ahadi ya Rais.
Akizungumza katika hafla ya kuhitimisha mafunzo ya kushughulikia mashauri nyeti ya jinai kwa majaji 12 wa Mahakama Kuu ya Tanzania, alisema juzi walikuwa na mazungumzo na Wizara ya Katiba na Sheria kuangalia mfumo wa uendeshaji wa mahakama hiyo.
“Tunaangalia tuianzishe kama mahakama huru au ifanywe ndani ya muundo wetu wa mahakama kwa kuipa kipaumbele maalumu. Lakini tunafikiria zaidi kama ingekuwa ni kitengo maalumu ndani ya Mahakama Kuu kitakachokuwa kikishughulikia mafisadi,” alisema Jaji Lila.
Hata hivyo, Jaji Lila hakutaja muda maalumu utakaotumika kumaliza mchakato wa kuanzisha mahakama hiyo, huku akisema unahusisha wadau wengi na unyeti wake unahitaji maandalizi makubwa.
Jaji huyo bila kutaja takwimu, alieleza kuwa kesi za makosa makubwa ya jinai zinaongezeka nchini ukilinganisha na miaka ya nyuma hasa zile zinazohusu utakatishaji fedha, ugaidi, usafirishaji wa dawa za kulevya, usafirishaji wa nyara za Serikali hasa wanyama hai na mazao yake na ufisadi.
Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Melrose alimpongeza Rais Magufuli kwa kuonyesha msimamo wa kupambana na makosa ya jinai yakiwamo ya dawa ya kulevya, usafirishaji wa nyara za Serikali na utakatishaji fedha.
“Nilikuwa nimeketi bungeni namsikiliza Rais siku alipokuwa akilihutubia Bunge, japo hotuba yake ilikuwa kwa Kiswahili lakini nilipata faraja kubwa nilipomuona akiwa mkali katika masuala hayo,” alisema Balozi Melrose.

Kigogo Kenya matatani kwa kumfuata Magufuli Dar




Rais John Magufuli.
Rais John Magufuli.  

By Mwandishi Wetu, Mwananchi
Nairobi. Gavana wa Jimbo la Siaya, nchini Kenya, Cornel Rasanga ameingia matatani akidaiwa kutumia Sh20 milioni za nchi hiyo (karibu Sh400 milioni) kutoka katika mfuko za Serikali kwa ajili safari ya kuhudhuria sherehe za kumwapisha Rais John Magufuli.
Dk Magufuli alipishwa Novemba 5, kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 25.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali Kenya (PAC), Nicholas Gumbo amemtuhumu Rasanga kwa kutumia fedha hizo kutoka kwenye mfuko wa Serikali wa safari.
“Gavana wa Rasanga lazima awaambie wananchi wa Siaya, imekuwaje akatumia Sh20 milioni kwenda Tanzania kwa ajili ya shughuli ya Dk Magufuli?
“Sidhani kama Dk Magufuli ana uhusiano wowote na wananchi wa Kaunti ya Siaya kiasi cha Gavana kutumia fedha hizo za umma kwenda Tanzania,” alisema Gumbo.
Gumbo alisema Dk Magufuli anafahamika kuwa ni rafiki mkubwa wa kiongozi wa Cord, Raila Odinga ambaye pia alihudhuria sherehe hizo.
Sherehe hizo pia zilihudhuriwa na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na viongozi wengine wa Afrika.
Akizungumzia tuhuma hizo, Rasanga alisema madai yalitolewa na Gumbo ambaye ni Mbunge wa Rarieda, ni uzushi na alikuwa anataka kujikweza kisiasa.
“Hii ilikuwa safari binafsi. Hatukutumia fedha za Serikali kama inavyoelezwa,” alisema alipohojiwa na gazeti la Daily Nation.
Gavana huyo alisema alikwenda kuhudhuria kuapishwa kwa Dk Magufuli kwa mwaliko binafsi wa Rais hiyo wa Tano wa Tanzania.
Hata hivyo, alisema ziara yake Tanzania itasaidia kwa kiasi kikubwa kukuza ushirikiano katika Ukanda wa Ziwa Victoria.
“Ukweli ni kwamba Rais wa Tanzania aliwahi kutembelea Siaya na tulijadiliana masuala mbalimbali ikiwamo usafiri hasa katika Ziwa Victoria,” alisema Rasanga na kuongeza:
“Dk Magufuli anatokea Kanda ya Ziwa na mpango wake mkubwa ni kuimarisha bandari katika Ziwa Victoria na kuchaguliwa kwake kuwa Rais kutarahisisha zaidi utekelezaji wa mipango yake.
“Hakuna sababu ya kuingiza siasa katika safari hii. Tuko katika mipango mizuri tu ya kibiashara na Tanzania ambayo kwa sasa imeanza kupanuka.”
Mwenyekiti huyo wa PAC Kenya alisema safari hiyo ya Novemba 5, ni matumizi mabaya ya rasilimali za umma.
Hata hivyo, Naibu Gavana, Wilson Ouma alipinga madai ya Gumbo akisema alikuwa na lengo la kumharibia bosi wake.
“Ukweli Gavana Rasanga alitumia fedha zake kwenda Tanzania na uzushi wowote unatakiwa ukomeshwe,” alisema Ouma alipozungumza na Nation.
Akisisitiza, Gumbo alisema ataendelea kupambana na matumizi mabaya ya fedha za umma unaofanywa na maofisa wa Serikali kwa kutumia vyeo vyao.

Magufuli kivutio nchi jirani
Madai hayo yameibuka wakati kasi ya utendaji wa Rais Magufuli tangu aapishwe ikizidi kuwa kivutio katika mitandao mbalimbali ya kijamii nchini Kenya na katika nchi nyingine jirani.
Kwa kipindi cha takriban siku 20 alizokaa ofisini, Rais Magufuli amechochea utendaji katika utumishi wa umma na kupunguza gharama akianza kwa kukata safari za nje kwa watumishi wa umma na sherehe za uhuru.
Kutokana na utendaji huo, watumiaji wa mtandao wa Twitter walianza kutumia kwa kasi kiunganishi cha “#Magufuli” huku kwa sehemu kubwa, raia wa Kenya wakiongoza mjadala hadi jana jioni.
Raia hao walionekana kuvutiwa na utendaji katika siku za awali za Dk Magufuli huku wakikosoa Serikali ya Rais Uhuru Kenyatta wakidai inazidi kukithiri kwa rushwa.
“Hello Tanzania, Kenya inataka imkodi #Magufuli kwa wikiendi moja,” aliandika kwa Kiingereza mtumiaji wa Twitter mwenye jina la Ezekiel Mogaka kutoka Kenya.
Lakini mtumiaji mwingine mwenye akaunti yenye utambulisho wa Chakkah Dan aliandika; “Rais Magufuli bila shaka (Hayati Baba wa Taifa), Julius Nyerere anatazama chini kutoka peponi akiwa anajivunia utendaji wako.
“Watanzania wanaamka kila siku asubuhi wakiona jambo fulani limetekelezwa na #Magufuli lakini Wakenya wanakwenda kulala na jambo ambalo #Kenyatta kaahidi,” aliandika The Golden Voice.
Kwa mujibu wa mtandao unaofutilia mijadala kwenye Twitter nchini Kenya, #GURUS daily trend, tangu jana asubuhi, kiunganishi “#Magufuli” kilikuwa ni miongoni mwa viunganishi vitano vilivyokuwa vinaongoza kwa kuchangiwa, vingine ni #WhatBalalaShouldDo, #YouDontKnowLifeStruggle, Welcome to Kenya, Turkey na #FagiaKenya.
Katika mijadala hiyo, Wakenya walikuwa wakijaribu kufananisha siku 19 za Rais Magufuli na miaka mitatu ya Rais Kenyatta na kutania kuwa iwapo Rais wa Tanzania angegombea mwaka 2017 nchini humo bila shaka wangemchagua.
Mijadala hiyo ‘haijabamba’ Kenya pekee, Burundi nao hawakuwa nyuma. Mwenye akaunti yenye jina Joseph Siboma aliandika: “Wakati ukomo wa madaraka ukiheshimika Tanzania, namkaribisha #Magufuli atawale kwa vipindi visivyoisha #Burundi.”
Mhadhiri wa Sayansi ya Siasa wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Richard Mbunda, alisema nchi nyingi za Afrika zinahitaji kuwa na viongozi wanaojali masilahi ya wananchi lakini historia inaonyesha sehemu kubwa ya viongozi waliopo madarakani ni watawala wasiojali watu wao na hawapendi kuharibiwa nafasi zao.
“Sasa inapotokea kuna kiongozi kama Rais Magufuli anayepunguza matumizi ya Serikali bila shaka atakonga nyoyo za wengi. Mtindo wa uongozi wa Rais ni mpya na katika mambo yote aliyoyafanya hakuna wanaopinga zaidi ya kuwapo wachache wanaoonya mwenendo huo uendelee bila kupungua kasi,” alisema Mbunda.

Diamond atajwa kwenye orodha ya jarida la ‘New Afrika’ ya Waafrika 100 wenye ushawishi – 2015


Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ya kila mwaka ya jarida la New Africa lenye makao yake jijini London, Uingereza ya Waafrika 100 wenye ushawishi zaidi mwaka 2015.
12144171_992371684172114_1315042514_n
Orodha hiyo hujumuisha Waafrika waliofanya mambo makubwa kwenye sekta nane zikiwemo Siasa (22); Public Office (4); Sanaa na Utamaduni (21); Biashara (21); Civil Society (11); Technology (9); Media (7); and Sports (5).
Nigeria na Afrika Kusini imetawala orodha hiyo kwa kuwa na watu 20 na 16. Kenya, Uganda na Cameroon zina watui sita kila moja.
Viongozi waliomo kwenye orodha hiyo ni pamoja na rais wa Nigeria Muhammadu Buhari na aliyemrithi Dr Goodluck Jonathan, Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia, Alpha Conde wa Guinea na Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone.
Pamoja na Diamond, mastaa wengine waliomo ni pamoja na Akon, Lupita Nyong’o, Trevor Noah na d Linda Ikeji.
CUmHlf3W4AAWiLQ
Kuhusu Diamond, jarida hilo limeandika:
Winner of the 2015 MTV Africa Music Award for Best Live Act, as well as Best African Live Act at the 2015 European Music Awards (EMAs), Diamond Platnumz is undoubtedly on of the continent’s biggest mussicians having made a tremendoud impact on the industry both local and global with hits such as ‘Number one’ which featured the talented Nigerian Davido and garnered him a huge following on social media this Tanzanian artist’s influence is most palpable amoungst the African youth and through the conversations they about him online. Tanzania did not just gain a new President in 2015 but ana international superstar making his country proud as well.

Vanessa Mdee hujiskiaje akimuona Jux ‘akimbusu’ msichana mwingine kwenye video? Hili ndio jibu lake!

Sunday, November 22, 2015

Catherine Kamau And Boyfriend Stun At Freddie’s Wedding (Photos)

Catherine Kamau beau

BREAKING: Waiguru Finally Steps Aside




wpid-anne-waiguru.jpg



Public pressure seems to have won against strong and powerful political forces that surround the Cabinet Secretary for Devolution and Planning, Ann Waiguru who has been under pressure to resign due to massive corruption allegations in her ministry and corporations associated to her ministry. She has finally bowed to the pressure and stepped aside to allow clear investigations and has admitted that there were very many loopholes in the dealings in her ministry.
The opposition, led by former prime minister Raila Odinga has been calling for Waiguru’s resignation and there was even a planned impeachment motion tabled in parliament.
The president will have to appoint a new acting CS until investigations are concluded. More details as they unroll.

Kenyan LADY desperately begs for S3X on facebook after a dry spell, See her PHOTOs

 A hungry Kenyan lady has taken to social media and begged for a “propeller” claiming that she is under-going a dry spell and needs a man badly.

The lady begged this in a closed group dubbed, Maddie Uncensored, where single mothers and women in failed relationships meet to console themselves.

The petite figured lady confessed that the thirst is too much and she is looking for a man to satisfy her.

This is what she posted;


Below are photos of the lady who is desperately looking for a man to satisfy her.




>>>>SOURCE<<<<
The Kenyan DAILY POST

Thursday, November 19, 2015

See How Female Fans Were Twerking And Dancing On Stage During Ali Kiba's Performance in Kenya




DIAMOND ASEMA JAMBO HILI ANALOTAKA KULIFANYA HIVI KARIBUNI HALITASAHAULIKA HADI ATAPO ZIKWA DUH JIONEE KITU CHENYEWE>>



                              BONYA HAPO KUSIKILIZA VIDEO NA NGOMA KALI

UKAWA Kumpokea Rais Magufuli Bungeni Kwa Staili Mpya


KUTAZAMA PICHA NA VIDEO BONY3ZA HAPO CHIN
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umesema utakuja na stahili mpya wakati  Rais Dk. John Magufuli, atakapokwenda  kuzindua na kuhutubia Bunge Novemba 20, mwaka huu. 
 

Umesema staili watakayoitumia ni tofauti na ile waliyoitumia wakati Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, alipozindua Bunge la 10 mwaka 2010 ya kutoka nje ya ukumbi kuonyesha kutotambua serikali yake. 
 

Akizungumza na mtandao huu katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma jana, aliyekuwa Mnadhimu wa Bunge la 10 Kambi la Upinzani Bungeni, Tundu Lissu, alisema safari hii hawatatoka nje ya ukumbi wa Bunge  hata kama hawamkubali Rais Magufuli, kwa kuwa ni wajibu wao kushiriki vikao vya chombo hicho cha kuwakilisha wananchi. 
 

“Sisi ni wabunge, tumo humu kwa ridhaa ya wananchi, tuna haki ya kuingia bungeni, hivyo siku hiyo tutaingia lakini kitakachotokea tutajua siku hiyo, bali haitakuwa kama walivyotuzoea tunatoka nje,” alisema na kuongeza: 
 

“Subira yavuta heri, bado siku tatu tu, Watanzania watajua msimamo wetu tukiwa ndani ya Bunge,” alisema. 
 

Hivi karibuni aliyekuwa mgombea urais wa Ukawa kupitia Chadema, Edward Lowassa, alisema hawatambui matokeo yaliyotangazwa na Tume yaTaifa ya Uchaguzi (Nec) na kumpa ushindi Rais Magufuli na kwamba hawatashirikiana na serikali yake kutokana na kile alichoeleza kuwa uchaguzi mkuu uligubikwa na wizi wa kura na kuporwa ushindi.
KUTAZAMA PICHA NA VIDEO BONY3ZA HAPO CHIN

Former ODM Chairman agrees with UHURU and tells KETER to go slow on WAIGURU

Wednesday November 18, 2015 - Nandi Hills MP, Alfred Keter, has been told to go slow on Devolution Cabinet Secretary, Miss Anne Waiguru, who is accused of stealing billions of shillings from her Ministry.

Speaking at St Christopher Lelwak Catholic Church and at Kapsabet AIC Bible College, former ODM chairman, Henry Kosgei, said that leadership has many challenges and one has to draw a balance between public and personal interest. 

Kosgei, who is also a former Tinderet MP, said a leader sometimes has to seek divine intervention for things to work.

He asked the Kalenjin community to pray for Keter to differentiate between personal and public interest.


Kosgei also said that he is grateful to Tinderet residents for electing him to Parliament for 30 “uninterrupted” years. 

“To be elected six times to Parliament uninterrupted is not simple. I owe the people of Nandi all that I am today,” he said.

He concluded by saying that he learnt a lot in politics and one important lesson was letting some issues run their course. 
>>>>SOURCE<<<<
The Kenyan DAILY POST

Kenyans are not fools, UHURU is shielding WAIGURU from prosecution – RAILA ODINGA.

Wednesday November 18, 2015 - CORD leader, Raila Odinga, has accused President Uhuru Kenyatta of using state machinery at his disposal to shield embattled Devolution Cabinet Secretary, Miss Anne Waiguru, from prosecution over the loss of billions of shillings from her docket.

In a statement to the press from London on Tuesday, Raila dismissed the planned prosecution of National Youth Service (NYS) Director General, Nelson Githinji, and Planning PS, Eng. Peter Mangiti, saying this is a desperate attempt to protect corrupt Waiguru.

Raila also advised the President to appoint an international audit firm to review the Sh 791 million scandal because CID and EACC officials have been compromised by Waiguru and her coterie.

The former PM noted that a report of an independent audit should be made public and submitted simultaneously to both the President and Parliament in order to prove to Kenyans that Waiguru is clean.


“If the government doesn’t do this, that is evidence that this is all a cover up to save the High Priestess of Corruption in Kenya,” Raila said.

“The Government must stop taking Kenyans for fools. We refuse to accept that the NYS corruption saga has now been settled,” Raila added.

Raila said the charging of Mangiti and Githinji is just the tip of the iceberg and the "queen" of corruption is still looting public money under Uhuru’s watch.
>>>>>SOURCE<<<<

The Kenyan DAILY POST

Standard Group in trouble for saying RUTO burnt 35 women and children in a Church

Wednesday November 18, 2015 - Deputy President William Ruto has asked the Standard Media Group to provide evidence to the International Criminal Court (ICC) that him and journalist Joshua Sang were involved in the 2007/ 8 post-election violence. 

On Saturday, the Standard Newspaper wrote an article titled “Stop interfering with court process" that depicted Ruto as the man who burnt 35 innocent women and children in Kiambaa PAG Church during the 2007-08 post election violence.

In a series of tweets on Wednesday, Ruto asked the Standard Group’s editors and owners to submit evidence that he burnt a church for the sake of justice.

The article said in part leaders organise prayer meetings for Ruto, who is facing crimes against humanity charges, completely oblivious of the fact that there are traumatised survivors.


To these leaders, perhaps the deaths of 35 people in the Kiambaa Church arson attack is a fairy tale. The more than 1,200 people who were needlessly killed are mere statistics.

The plight of more than 60,000 people, who bore the indignity of living as refugees in their own country in sordid conditions for eight years, is inconsequential. Politicking will not determine the outcome of these cases.

Guilt or the absence thereof will be determined by the ICC on the basis of the evidence. Our legislators must desist from interfering in a court process; more so because they believe that the Deputy President is innocent."

In a quick response through social media, Ruto said, "If the editors/owners of Standard have evidence that Sang and I burnt Kenyans in Kiambaa church, why don't they provide it?"

The DP said the media should forward the evidence they have to the ICC to help victims instead of trying to push a hidden agenda.
>>>>>SOURCE<<<<
The Kenyan DAILY POST

Capital FM’s Cess Mutungi Flaunts Expensive German Ride (PHOTOS)

Capital FM radio presenter Cess Mutungi is not a new name to most Kenyans. The ageing lass is one of the most controversial personalities in the country, making her a constant headline maker on nondescript blogs.
But away from her controversies, Cess is living life large if the photos doing the rounds on the internet are anything to go by. Apparently, Cess rolls in sleek Range Rover like the high and mighty.
Check out these photos
cess1
cess2
cess3
cess4
cess5

Sunday, November 15, 2015

Tiwa Savage looked hot at her performance at Warwick Uni. Hot new mum Tiwa Savage shared this photo before a performance at the Warwick University in Coventry. Her hashtags though, lol...#blacktights and #beforeyousaymylegsaredarkerthanmyface

Hot new mum Tiwa Savage shared this photo before a performance at the Warwick University in Coventry. Her hashtags though, lol...#blacktights and #beforeyousaymylegsaredarkerthanmyface


Still friends! Blac Chyna topless in sexy photo with Amber Rose

Amber Rose shared the photo and wrote "Netflix & Chill with Blac Chyna'. Sexy women...

Nicki Minaj shows off her hot bod as she shows off her clothing line



Nicki Minaj put her hot body on display as she shows off her new clothing line. More photos after the cut...



SHOCKER: This 54 Year Old Man And His 13 Year Old Lover Caught Pants Down, See Photo



SHOCKER: This 54 Year Old Man And His 13 Year Old Lover Caught Pants Down, See Photo  
54 Year Old Man And His 13 Year Old Lover Caught Pants Down
54 Year Old Man And His 13 Year Old Lover Caught Pants Down, Sources reveal that, Residents have been suspicious of This Old Man (Name Withheld) and this little Girl (Name Withheld).
Some Youths In the Resident one hot afternoon broke in the Mr. (Name withheld) Room.

SEE FULL PHOTO BELOW!!

South African Husband Wife Pron Video Leaked>>>watch here

South African Husband Wife Pron Video Leaked,pron video Leaked, celebrity video leaks, leaked videos download, celebrity leak videos, husband wife live, husband wife video, sex video in husband wife, sexy leaked videos, free sexy videos, south african pron video, south africa pron video.

Kwa Mara ya Kwanza Wastara Aonyesha Miguu Yake na Kuandika Mazito Kuhusu Kinachomsumbua

Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kama unavyoiona pic
Huyo ndio wastara nilivyo hakuna kilichopungua zaidi ya hicho unachokiona
Kuwa mlemavu ni kitu kingine tofauti ukiwa mzima hivyo kusikia maumivu na kuumwa mguu ni kitu cha kawaida
Sasa nipo nairobi kimatibabu na tatizo ni operetion ya kwanza nilikosewa ndio sababu ya maumivu ya mara kwa mara madaktari wameshajua nini cha kunifanya ili kuondoa mateso kwangu
Jifunze kitu kupitia hii pic yangu na si kucoment ujinga jiulize ungekuwa wew mama yako dada yako mume,mke, wako ungeweza kusmile kma mimi hali ya kuwa una maumivu?
Jifunze kitu kupitia wastara
na sijajidharirisha nimetaka wewe unijue nilivyo ili usiteseke na maswali juu yangu
Sijakatwa miguu yote kma ilivyovumishwa na pia pamoja na maumivu ninaweza kutembea japo si mwendo mrefu sana na naendelea kusmile
SOTE TUSEME ALHMADULILAH
ASANTE MUNGU

Wastara Juma @wastara84 on instagram

UWIIIII...PICHA(18+) HZI NDIYO PICHA NA VIDEO ALIZOTUPIA HUYU DADA MTANDAONI KUTAFUTA MWANAUME ALIYETAYARI KUMNUNULIA LAPTOP

      BONYA MWENYE HIZI VIDEO



Dr Magufuli Aifumua Ikulu.....Aipanga upya Kwa kupunguza wafanyakzi wasiyo na muhimu IKULU,

 

Rais John Magufuli amezifumua na kuziunda upya baadhi ya ofisi za Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam pamoja na kuwaondoa baadhi ya watumishi ambao hawana ulazima katika mfumo wa utumishi wa Ikulu.

Taarifa za uhakika zilizotufikia kutoka ndani ya Ikulu zimeeleza kuwa Rais Magufuli alianza kufanya ukaguzi wa ofisi moja baada ya nyingine zilizo Ikulu huku akitaka maelezo ya kina kuhusu shughuli zake na aina ya watendaji waliopo.

Mmoja wa maofisa waandamizi wa Ikulu aliyezungumza  kwa sharti la jina lake kuhifadhiwa, alisema katika ukaguzi huo, Rais Magufuli aliamuru kufungwa mara moja kwa baadhi ya ofisi alizobaini kuwa hazina tija na kwamba zina watumishi ambao ni mizigo.

Ofisa huyo alizitaja baadhi ya ofisi zilizofungwa kuwa ni pamoja na iliyokuwa ikishughulikia chakula cha rais na ile iliyokuwa ikijihusisha na kupokea wageni binafsi wa rais.

“Rais Magufuli alipoingia tu Ikulu alifanya ziara ya kukagua ofisi zote zilizopo Ikulu, alitaka kujua utendaji kazi wa ofisi hizo lakini alipofika kwenye kitengo maalumu cha lishe ya rais alisema haoni umuhimu wa kuwepo kwa ofisi hiyo kwa sababu suala la lishe yake siku zote linasimamiwa na mkewe Janeth. Akaamuru ifungwe na watumishi wake warejeshwe walikotoka.

"Ofisi nyingine aliyoamuru ifungwe ni kupokea wageni binafsi wa rais. Alisema haoni tija ya kuwepo kwa ofisi hiyo kwa sababu mgeni anatakiwa kufika Ikulu baada ya kutoa taarifa, nayo aliamuru ifungwe,” alisema ofisa huyo.

Taarifa zaidi zimeeleza kuwa aliyekuwa mkuu wa kitengo cha lishe Ikulu amerudishwa katika ajira yake ya awali Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, huku watumishi wengine wakipelekwa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma.

Alipotafutwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue kupitia simu ya kiganjani kuzungumzia hatua hiyo, simu yake iliita muda mrefu bila kupokelewa na hata alipotumiwa ujumbe mfupi wa maneno ulionyesha kupokelewa kwenye simu yake lakini haukujibiwa.

Alipoulizwa Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi, Premi Kibanga kuhusu kuwepo kwa hatua hizo alisema ni kweli Rais Magufuli alipoingia ofisini alianza kuipanga upya Ikulu kulingana na matakwa yake wakati wa utawala wake.

Premi ambaye alizungumza kupitia simu yake ya kiganjani alisema wakati wa utawala wa Serikali ya awamu ya nne kulikuwa na ofisi maalumu ya lishe Ikulu ambayo hata hivyo ilikuwa haihusiani na uandaaji wa chakula cha rais.

Alisema ofisi hiyo ilikuwa mahususi kwa ajili ya ushauri kuhusu programu ya kimataifa ya urutubishaji wa vyakula kwa lengo la kupunguza tatizo la udumavu wa watoto.

“Ofisi hiyo ilikuwa inaongozwa na mtaalamu wa masuala ya lishe hata hivyo kabla ya Rais Kikwete kumaliza muda wake mtaalamu huyo aliacha kazi yake na kwenda kugombea ubunge huko kwao sasa ukiniambia amerudishwa Wizara ya Afya sitakuwa na jibu la uhakika kwa sababu sifahamu,” alisema Premi.

Alipoulizwa kuhusu kufungwa kwa ofisi ya wageni binafsi wa Rais, Premi alisema ilikuwa na kazi ya kupokea malalamiko ya wananchi lakini Rais Magufuli ameamua kuiondoa kwa sababu ameweka utaratibu wa malalamiko ya wananchi kupokewa kuanzia ngazi za chini.

“Kama unavyojua Rais amekuja na dira yake ya ‘hapa kazi tu,’ hivyo anataka watendaji wa ngazi zote wawajibike kwa ufanisi. Wakati wa utawala wa Rais Kikwete alifungua dawati hilo kwa ajili ya kusikiliza matatizo ya wananchi, watu walitoka mikoa ya mbali kuleta kero zao hapa Ikulu lakini Rais Magufuli ameamua malalamiko ya wananchi yasikilizwe kuanzia ngazi za chini.

“Rais Magufuli anataka watendaji wote wa Serikali wawajibike kupokea kero za wananchi na kuzifanyia kazi. Zipo ofisi za madiwani, wabunge, wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa ambao wote wanalo jukumu la kuwasikiliza wananchi na kuwatatulia kero zao,” alisema Premi.

Credit:Mtanzania

UNYAMA !!!!! MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA AUAWA

MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA AUAWA
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita na aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Busanda, Alphonce Mawazo amefariki dunia kwa kupigwa na watu wasiojulikana leo saa 9 mchana, mkoani Geita.
Taarifa zinadai kuwa Mawazo ameuawa baada ya kutokea vurugu zilizohusisha wafuasi wa CHADEMA na CCM katika kata ya Ludete wakati wa harakati za kampeni kuelekea uchaguzi mdogo wa diwani wa kata hiyo uliopangwa kufanyika kesho Jumapili Novemba 15.
Kwa mujibu wa mashuhuda, wakati vurugu hizo zikitokea, Alphonce alionekana kukimbizwa na kundi la watu lililokuwa likipiga kelele kuita watu wengine, na baadaye kundi hilo na watu wengine kumkamata na kuanza kumshambulia kwa kutumia zana mbalimbali ikiwemo mapanga na mawe kabla ya kufariki dunia akiwa hospitali kutokana na kuvuja damu nyingi

 

Copyright @ 2013 HII NI LAANA.

Designed by Templateiy & CollegeTalks